Marekani na Iran zilimaliza mazungumzo yao ya ana kwa ana siku ya Jumapili bila makubaliano. Maafisa wa Marekani walisema yalivunjika kutokana na Iran kukataa kujitolea kuachana na mpango wao wa silah ...
Wataalamu wa tiba nchini Japani wanatoa wito kwa watoto wote nchini humo kuchanjwa dhidi ya surua, huku kukiwa na ongezeko la ...
Mashambulizi hatari yameendelea nchini Lebanon licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano na Israel yaliyoanza kutekelezwa ...
Kwa Donald Trump, Somalia ni nchi ambayo "inanuka" na wale waliohama kutoka huko kwenda Marekani na wazao wao, "takataka" ambazo lazima ziondolewe. Rais wa Marekani alishangaza Jumanne iliyopita kwa ...
"Siku ya kwanza, niliuliza 'kwa nini hakuna wanawake tena?'," anasema Hind Kabawat. Yeye ni waziri wa masuala ya kijamii na kazi wa Syria , waziri pekee mwanamke katika serikali ya mpito aliyepewa ...
Nchini Comoro, vituo vinane vya gesi vya kibinafsi vimetoa taarifa ya kulaani hitilafu kubwa katika usambazaji wa mafuta na ...
Leo Aprili 15, ni miaka mitatu kamili, tangu kuanza kwa vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF, vita ambavyo ...
DODOMA: Serikali imepanga kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa katika mwaka wa fedha ...
Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Leo XIV anatarajiwa kuwasili hii leo nchini Angola, ikiwa ni kituo cha tatu cha ...
DODOMA: Wizara ya Maliasili na Utalii imewahakikishia wawekezaji na wadau wa michezo ushirikiano wa kutosha kuwezesha ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa ili kuongeza thamani ya vivutio vya ...
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete, (JKCI), imeanza kufanya upembuzi yakinifu kwa ajili ya kuanza kutoa huduma za upandikaziji ...